Amesema kuna umuhimu wa kuandaa mfumo maalum wa kuwajengea uwezo watu wenye ulemavu, ikiwamo kuwafundisha viziwi kupitia viziwi wenzao na wasioona kupitia wasioona wenzao, hasa katika matumizi ya teknolojia na ujuzi wa kujiajiri.
Amesema kuna umuhimu wa kuandaa mfumo maalum wa kuwajengea uwezo watu wenye ulemavu, ikiwamo kuwafundisha viziwi kupitia viziwi wenzao na wasioona kupitia wasioona wenzao, hasa katika matumizi ya teknolojia na ujuzi wa kujiajiri.