Kuhusu kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Chimagu alisema TOSCI inaendelea kuwekeza katika tafiti za kina zinazolenga kulinda nasaba za mimea na kuboresha mbegu ili ziweze kustahimili mazingira yanayobadilika.
Chimagu alisema TOSCI inaendelea kuwekeza katika tafiti za kina zinazolenga kulinda nasaba za mimea na kuboresha mbegu ili ziweze kustahimili mazingira yanayobadilika.