Alisema sheria ya mbegu nchini inaeleza wazi masharti ya usajili, ubora na usimamizi wa mbegu zinazozalishwa kwa ajili ya biashara bila kubagua aina yoyote ya mbegu, Aidha, alibainisha kuwa Tanzania imeanza hatua za awali za kuandaa sheria maalumu kufuatia Mkataba wa Kimataifa wa mwaka 2001, unaolenga kulinda haki za wakulima juu ya mbegu zao za asili pamoja na rasilimali za mimea.
Tanzania imeanza hatua za awali za kuandaa sheria maalumu kufuatia Mkataba wa Kimataifa wa mwaka 2001, unaolenga kulinda haki za wakulima juu ya mbegu zao za asili pamoja na rasilimali za mimea.