Ushiriki wa NEMC katika mkutano huu unaakisi dhamira ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuendelea kutekeleza kikamilifu Mkataba wa Urithi wa Dunia wa mwaka 1972.
Ushiriki huo umeendelea kuonesha dhamira ya nchi katika kutekeleza Mkataba wa Urithi wa Dunia wa mwaka 1972 na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika uhifadhi wa urithi wa asili na wa kiutamaduni.