Alieleza kuwa Serikali inaendelea kutekeleza mageuzi yanayolenga kuboresha miundombinu, kuimarisha mazingira ya uwekezaji na kuunda fursa zaidi za ukuaji wa uchumi endelevu, ajira na uhamishaji wa teknolojia.
He noted that the reforms implemented under her administration have strengthened investors’ confidence, improved the ease of doing business and positioned Tanzania among Africa’s most attractive destinations for Foreign Direct Investment on long-term strategic investment.
Serikali ya Tanzania imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kurahisisha mazingira ya biashara kwa kupunguza urasimu katika usajili na utoaji wa leseni.