Chalamila amesema mkutano huo ni miongoni mwa majukwaa makubwa zaidi ya mwaka 2026 yanayolenga kuharakisha maendeleo ya miundombinu barani Afrika, huku ukiipa Tanzania fursa ya kujitangaza kama kitovu cha biashara, uwekezaji na maendeleo ya miundombinu Afrika.
Mkutano huo ni miongoni mwa majukwaa makubwa barani Afrika yanayolenga kuharakisha maendeleo ya miundombinu kupitia ushirikiano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi, huku ukiwa pia fursa ya kuitangaza Tanzania kama kitovu cha biashara, uwekezaji na maendeleo ya miundombinu barani Afrika.
