Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani zimekubaliana kuendelea na kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali za kimkakati, ikiwemo biashara na uwekezaji, afya, mazingira, maji, uchumi wa buluu, ujenzi wa miundombinu, teknolojia na utawala bora, kwa manufaa ya wananchi wa pande zote mbili.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani zimekubaliana kuendelea na kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali za kimkakati, ikiwemo biashara na uwekezaji, afya, mazingira, maji, uchumi wa buluu, ujenzi wa miundombinu, teknolojia na utawala bora, kwa manufaa ya wananchi wa pande zote mbili.