utekelezaji wa mradi huo unalenga kuifanya Tanga kuwa kitovu kikuu cha usambazaji wa bidhaa za mafuta kwa nchi za Afrika Mashariki na maeneo mengine ya bara la Afrika.
Ndejembi aliongeza mradi huo unaendana na maono ya Rais Samia ya kuifanya Tanga kuwa kitovu cha biashara ya mafuta Afrika Mashariki kutokana na nafasi yake ya kimkakati.