Mratibu wa Mtandao wa Mashirika Yanayojishughulisha na Utunzaji wa Bionuai Tanzania (TABIO), Abdullah Ramadhan Mkindi, alisema taasisi hiyo inaendelea kuhamasisha uhifadhi na matumizi ya mbegu za asili pamoja na mifugo ya asili, ikiwemo ng’ombe na kuku wa kienyeji, ili rasilimali hizo zisiendelee kutoweka kutokana na mchango wake katika usalama wa chakula na uhifadhi wa mazingira.
Mratibu wa Mtandao wa Mashirika Yanayojishughulisha na Utunzaji wa Bionuai Tanzania (TABIO), Abdallah Ramadhan Mkindi, amesema taasisi hiyo inaendelea kuhamasisha uhifadhi na matumizi ya mbegu za asili pamoja na mifugo ya asili, ikiwemo ng’ombe na kuku wa kienyeji, ili isipotee kutokana na mchango wake mkubwa katika usalama wa chakula na uhifadhi wa mazingira nchini.
Mratibu wa Mtandao wa Mashirika Yanayojishughulisha na Utunzaji wa Bionuai Tanzania (TABIO), Abdallah Ramadhan Mkindi, amesema taasisi hiyo inaendelea kuhamasisha uhifadhi na matumizi ya mbegu za asili pamoja na mifugo ya asili, ikiwemo ng’ombe na kuku wa kienyeji, ili isipotee kutokana na mchango wake mkubwa katika usalama wa chakula na uhifadhi wa mazingira nchini.