Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema ameahirisha mpango wa kuanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran baada ya kushauriwa na viongozi wa Qatar, Saudi Arabia na Falme za Kiarabu (UAE), ambao walimtaka ape nafasi zaidi kwa njia ya diplomasia badala ya vita.
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa ameamua kusitisha kwa muda mashambulizi mapya ya kijeshi dhidi ya Iran, akisema hatua hiyo inalenga kutoa nafasi kwa juhudi za kidiplomasia zinazolenga kumaliza vita vilivyoendelea kwa miezi mitano.
