Kwa sasa, Wekundu wa Msimbazi wapo nchini Rwanda wakishiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup.
WINGA wa Simba, Libasse Gueye, anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakachoshuka dimbani kesho kuikabili Jamus FC ya Sudan Kusini katika mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya CECAFA Kagame Cup unaoendelea nchini Rwanda.
Wakati suala la Maema likisubiri hatima yake, kikosi cha Simba tayari kimeshaondoka nchini kuelekea Kigali, Rwanda, kushiriki michuano ya Kombe la CECAFA Kagame.