Ushindi dhidi ya Singida umekuja wakati muafaka ambapo moto wa mazoezi na kambi maalum ukiendelea kuwaka, huku maboresho ya kikosi kupitia usajili mpya unaoendelea yakiongeza mzuka kikosini.
Kocha huyo amesisitiza kuwa ushindi dhidi ya Singida ulikuwa na umuhimu mkubwa katika kurejesha kujiamini kwa wachezaji wake baada ya kutoka suluhu katika michezo miwili ya kwanza dhidi ya Mogadishu City na Jamus.