Recognition of New TUGHE Chairperson for Manyara Region
Habari mpya za civil society Tanzania · maelezo ya Recognition of New TUGHE Chairperson for Manyara Region · imesasishwa 6 Aug 2026 · habari mpya · masasisho · maelezo
Muhtasari
- Shadrack Aron ambaye ni mtumishi wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Manyara ambaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa TUGHE Mkoa wa Manyara katika uchaguzi uliofanyika hivi karibuni.
- Na CHRISTOPHER MSAGATI- Mahakama, Manyara Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Manyara Mhe.
- Katibu Mkuu ninakukaribisha sana Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Manyara na tumefurahi umefika kwa kuwa ujio wako ni chachu ya kuongeza ushirikiano ambao unapaswa kuwepo miongoni mwetu sisi watumishi wa Umma.
- Kwa upande wake, Jaji wa Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Manyara Mhe.
- Devotha Kamuzora akitoa salamu alimshukuru Katibu huyo wa TUGHE kwa kufika mahakamani hapo na kumueleza kuwa, watumishi wa Mahakama wanapaswa kujua majukumu yanayofanywa na Vyama vya Wafanyakazi hivyo waendelee.