Rais Samia Suluhu Hassan's Allocation of Sh. 100 Million for Completion of John Magufuli Memorial Museum
Habari mpya za siasa Tanzania · maelezo ya Rais Samia Suluhu Hassan's Allocation of Sh. 100 Millio… · imesasishwa 6 Aug 2026 · habari za siasa · serikali · sera
Muhtasari
- Milioni 100 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa makumbusho ya hayati Rais Mstaafu John Magufuli yanayojengwa Wilaya ya Chato mkoani Geita.
- Milioni 100 ili ujenzi huo ukamilike, ameamua kutoa fedha hizo.“Kwa kutambua na kuenzi mchango wake, rais amekuwa akifuatilia kwa karibu ujenzi wa makumbusho ya Magufuli hapa Chato.
- Rais ametaarifiwa kwamba ili ujenzi ukamilike zimepungua kiasi cha Sh. milioni 100 ili kukamilisha makumbusho yake,” amesema Dk.
- Emmanuel Nchimbi wakati akitoa salamu kwa niaba ya Rais Samia kwenye kumbukizi za miaka mitano ya kifo cha Magufuli inayofanyika nyumbani kwake Chato.Dk.
- Nchimbi amesema Rais Samia amekuwa akifuatilia ujenzi huo na alipofahamu kwamba inahitajika Sh.