Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Kizimkazi na maeneo jirani kutunza na kulinda miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali, akisisitiza kuwa miradi hiyo ni msingi wa uchumi na ustawi wa wananchi wa sasa na vizazi vijavyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Kizimkazi na maeneo jirani kutunza na kulinda miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali, akisisitiza kuwa miradi hiyo ni msingi wa uchumi na ustawi wa wananchi wa sasa na vizazi vijavyo.