RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametoa rai kwa wananchi wa Kizimkazi na maeneo ya jirani, kuilinda na kuitunza miradi yote ya maendeleo iliyozinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi, akisisitiza kuwa ni lazima miradi hiyo itunzwe kama mboni za macho.
RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametoa rai kwa wananchi wa Kizimkazi na maeneo ya jirani, kuilinda na kuitunza miradi yote ya maendeleo iliyozinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi, akisisitiza kuwa ni lazima miradi hiyo itunzwe kama mboni za macho.