Dk. Batilda Burian, ametaka elimu ya kupinga rushwa ianze kutolewa kwa wanafunzi wa shule za msingi wakiwa na umri mdogo ili kuwajengea maadili ya uadilifu, uaminifu, uwajibikaji, uzalendo na kuipenda nchi yao.
Dk. Batilda Burian, ametaka elimu ya kupinga rushwa ianze kutolewa kwa wanafunzi wa shule za msingi wakiwa na umri mdogo ili kuwajengea maadili ya uadilifu, uaminifu, uwajibikaji, uzalendo na kuipenda nchi yao.