Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesisitiza kuwa mageuzi ya elimu nchini lazima yaendane na mahitaji ya uchumi wa taifa kwa kutoa ujuzi unaohitajika kwa vijana.
Prof.Nombo ametoa maagizo matano kwa viongozi na watumishi wa sekta ya elimu nchini ili kuhakikisha sekta hiyo inaendana na mahitaji ya maendeleo ya taifa na mabadiliko ya dunia.
