Mkoa wa Manyara pia unaendelea na maandalizi kuelekea uzinduzi wa kampeni ya chanjo ya Polio ya Matone Kitaifa tarehe 27 Agosti 2026, huku uongozi wa Mkoa ukisisitiza utayari wake wa kuhakikisha zoezi hilo linafanyika kwa mafanikio.
Mkoa wa Manyara pia unaendelea na maandalizi kuelekea uzinduzi wa kampeni ya chanjo ya Polio ya Matone Kitaifa tarehe 27 Agosti 2026, huku uongozi wa Mkoa ukisisitiza utayari wake wa kuhakikisha zoezi hilo linafanyika kwa mafanikio.