Tehran inaamini kuwa shambulio lolote jipya dhidi yake litazua athari kubwa kwa uchumi wa mataifa ya Ghuba na usambazaji wa mafuta duniani, jambo ambalo linaweza kulazimisha pande husika kurejea mezani kwa mazungumzo.
Bei za mafuta na gesi zimepanda kwa kasi, huku bei ya mafuta ghafi aina ya Brent ikifikia dola 85 (pauni 64) kwa pipa, kwa mara ya kwanza tangu Julai 2024.