Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane 2026 unalenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya dawa za mifugo, taratibu za udhibiti wa bidhaa za dawa na vifaa tiba, pamoja na kuhamasisha uwekezaji katika viwanda vya kutengeneza dawa za mifugo nchini.
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane 2026 unalenga kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya dawa za mifugo...