Serikali imesema Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi ‘Nanenane’ yamefungua fursa mpya za masoko ya nje kwa wakulima wa Tanzania, baada ya baadhi ya mazao ya kilimo kuanza kupata nafasi ya kuuzwa moja kwa moja katika soko la Sudan Kusini.
Serikali imesema Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi ‘Nanenane’ yamefungua fursa mpya za masoko ya nje kwa wakulima wa Tanzania, baada ya baadhi ya mazao ya kilimo kuanza kupata nafasi ya kuuzwa moja kwa moja katika soko la Sudan Kusini.