Mwanza.Wafanyabiashara tisa wa Soko la Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya Sh1.072 bilioni kufuatia moto ulioteketeza maduka na mali zao Julai 3, 2026.
Wafanyabiashara Tisa wa Mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata nafasi ya kujenga upya biashara zao baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya Sh1.072 bilioni kufuatia moto ulioteketeza maduka na mali zao Julai 3, 2026.