Tunazindua rasmi maandalizi ya Jubilee ya Miaka 100 ya Shule ya Sekondari Tosamaganga, taasisi iliyoanzishwa mwaka 1926 na ambayo kwa kipindi cha karne moja imeendelea kuwa nguzo ya elimu bora, maadili na uongozi nchini Tanzania.
Sitta alisema Jubilee ya miaka 100 haitakuwa sherehe ya kukumbuka historia pekee, bali itakuwa jukwaa la kuanzisha miradi ya maendeleo itakayoendelea kunufaisha vizazi vijavyo shuleni hapo.