Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amezindua Kliniki ya Watumishi wa Umma inayolenga kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili watumishi na wastaafu katika Mkoa wa Iringa, akisisitiza kuwa utatuzi wa changamoto za watumishi ni msingi wa kuboresha huduma zinazotolewa kwa wananchi.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amezindua Kliniki ya Watumishi wa Umma inayolenga kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili watumishi na wastaafu katika Mkoa wa Iringa, akisisitiza kuwa utatuzi wa changamoto za watumishi ni msingi wa kuboresha huduma zinazotolewa kwa wananchi.