Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa kuwekeza katika utafiti wa kilimo ndiyo njia sahihi ya kuleta mageuzi ya kweli katika sekta hiyo na kuongeza tija kwa wakulima nchini.
Dkt. Mwigulu amesisitiza kuwa uwekezaji huo unaofanywa na Serikali katika utafiti wa kilimo ni mwelekeo sahihi wa mageuzi katika sekta ya kilimo.