Furthermore, the Appeals Authority plans to integrate the Complaints and Appeals Module with the Judiciary of Tanzania's system to facilitate timely access to justice and improve service delivery efficiency.
Kadhalika, Mamlaka ya Rufani inatarajia kuunganisha Moduli ya Malalamiko na Rufaa na mfumo wa Mahakama ya Tanzania ili kurahisisha upatikanaji wa haki kwa wakati na kuongeza ufanisi wa utoaji huduma ikiwa ni njia mojawapo ya kuimarisha matumizi ya teknolojia katika sekta ya ununuzi wa umma.