We believe this wall will contribute to creating a safer and calmer learning environment, giving teachers better conditions to deliver lessons and providing students with an environment that supports academic excellence.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Madenge katika Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, wameondokana na usumbufu wa kukatishwa vipindi vya masomo baada ya kukamilishwa kwa ujenzi wa ukuta unaozuia watu kuingia katika eneo hilo.
