Kafulila’s meeting with digital media journalists came just one day after President Samia announced, during the launch of the implementation instruments for Vision 2050 at the State House in Dar es Salaam, that the country had entered the implementation phase and that 'the time for talk is over.'
Mhe. Kikwete amesema kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatutaka kuwa na Taifa lenye uchumi wa kisasa, ushindani wa kimataifa, matumizi makubwa ya teknolojia, na huduma za umma zenye ufanisi wa hali ya juu.
Aidha, Balozi Omar alisema kuelekea utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2050 inayolenga kufikia uchumi wa Dola trilioni moja kufikia 2050, Tanzania inahitaji uwekezaji mkubwa ili kukuza uchumi wa sasa ambapo nguvu kubwa inatakiwa itoke kwenye uwekezaji wa ndani ili umiliki wa uchumi wa nchi ubaki mikononi mwa Watanzania wenyewe.