I&M Bank's Commitment to Long-term Value Creation through Hatua Bond
Habari mpya za fedha Tanzania · maelezo ya I&M Bank's Commitment to Long-term Value Creation throu… · imesasishwa 6 Aug 2026 · habari za uchumi · pato la taifa · uwekezaji
Muhtasari
- DAR ES SALAAM: WAWEKEZAJI katika sekta mbalimbali nchini wanatarajiwa kunufaika na mpango wa hati fungani inayotoa riba ya kudumu ya asilimia 13 kwa mwaka kupitia hati fungani ya Hatua bond.
- Ameongeza “Hati fungani hiyo iko wazi kwa wawekezaji binafsi na taasisi, huku kiwango cha chini cha uwekezaji kikiwa Sh 500,000, hatua inayotarajiwa kuongeza ushiriki wa Watanzania katika uwekezaji wa hati fungani zenye.
- Akizungumza wakati wa uzinduzi wa hati fungani ya Hatua Bond, Mkuu wa Idara ya Hazina wa I&M Bank Tanzania, Patrick Kapela, amesema Hatua Bond ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha soko la mitaji nchini na kuwapatia.
- Kwa upande wake, Ofisa Mtendaji Mkuu na Mkurugenzi Mtendaji wa I&M Bank Tanzania, Zahid Mustafa, amesema uzinduzi wa Hatua Bond unaonyesha ukuaji wa benki hiyo na imani yake katika mustakabali wa uchumi wa Tanzania.
- Hatua Bond imezinduliwa wakati I&M Bank Tanzania ikiwa imefikia hadhi ya Benki ya Daraja la Kwanza (Tier One Bank) na kuvuka thamani ya mali ya zaidi ya Sh trilioni moja.