Hatua hiyo inatarajiwa kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kusaidia utekelezaji wa mkakati wa Serikali wa kuhakikisha asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034.
Mikakati ya Serikali ya kufikia asilimia 80 ya Watanzania wanaotumia nishati safi ya kupikia ifikapo 2034 na asilimia 75 ifikapo 2030 itawezekana endapo wadau wote watashirikiana …