Alisema katika kuimarisha mnyororo huo, ni muhimu kuweka mikakati ya kupunguza upotevu wa mazao unaotokea baada ya kuvuna, hususan katika hatua za usindikaji, uhifadhi na usafirishaji.
Alisema katika kuimarisha mnyororo huo, ni muhimu kuweka mikakati ya kupunguza upotevu wa mazao unaotokea baada ya kuvuna, hususan katika hatua za usindikaji, uhifadhi na usafirishaji.
