Aidha amesema Serikali ina mpango mkubwa zaidi wa kujenga mfumo wa maji wa wilaya nzima, unaojulikana kama district grid, hatua ambayo itapanua zaidi mtandao wa huduma ya maji na kuhakikisha maeneo mengi yanaunganishwa katika mfumo mmoja wa uhakika.
Ameongeza Serikali ina mpango mkubwa zaidi wa kujenga mfumo wa maji wa wilaya nzima, unaojulikana kama district grid, hatua ambayo itapanua zaidi mtandao wa huduma ya maji na kuhakikisha maeneo mengi yanaunganishwa katika mfumo mmoja wa uhakika.