the government under President Samia Suluhu Hassan has continued to invest heavily in the health sector to ensure wananchi receive quality medical services closer to their communities.
Ameyasema hayo, Juni 16, 2026 katika hafla ya kukabidhi vifaa vya hospitali vilivyotolewa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) katika Hospitali ya Wilaya ya Chamwino, Mkoa wa Dodoma, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika hill.
Ameishukuru, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya hususani ujenzi wa hospitali, utoaji wa ajira kwa wataalamu wa atya, upatikanaji wa dawa na vifaa tiba pamoja na kuimarisha huduma za kibingwa na ubingwa bobezi zilizorahisisha upatikanaji wa huduma bora za afya nchini.