Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli, amewapongeza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa mchango wake mkubwa katika utoaji wa huduma za ujenzi na usimamizi wa majengo ya Serikali.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli, amewapongeza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa mchango wake mkubwa katika utoaji wa huduma za ujenzi na usimamizi wa majengo ya Serikali.