Akizungumza kwenye mkutano huo, Mkurugenzi Mkuu wa GEL, Abdulmalik Mollel, aliwataka wanafunzi hao kulenga kupata GPA nzuri, lakini pia kutumia muda wao kutafuta fursa zitakazowasaidia baada ya kuhitimu.
Mkurugenzi Mkuu wa GEL, Abdulmalik Mollel, aliwataka wanafunzi hao kulenga kupata GPA nzuri, lakini pia kutumia muda wao kutafuta fursa zitakazowasaidia baada ya kuhitimu.
