Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limewataka wafugaji nchini kuachana na tabia ya kutumia dawa za mifugo bila ushauri wa wataalamu wa afya ya wanyama, likionya kuwa matumizi yasiyo sahihi ya dawa hizo yanachochea kuongezeka kwa usugu wa vimelea dhidi ya dawa (Antimicrobial Resistance – AMR), tatizo linalotishia afya ya mifugo, binadamu na usalama wa chakula.
Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limewataka wafugaji nchini kuachana na tabia ya kutumia dawa za mifugo bila ushauri wa wataalamu wa afya ya wanyama, likionya kuwa matumizi yasiyo sahihi ya dawa hizo yanachochea kuongezeka kwa usugu wa vimelea dhidi ya dawa (Antimicrobial Resistance – AMR), tatizo linalotishia afya ya mifugo, binadamu na usalama wa chakula.