FAO imeamua kutumia jukwaa la Maonesho ya Nanenane kufikisha elimu kwa wafugaji kuhusu matumizi sahihi ya dawa za mifugo, ikiwahamasisha kuhakikisha dawa zinatumika pale tu zinapohitajika na kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya ya wanyama.
FAO imeamua kutumia jukwaa la Maonesho ya Nanenane kufikisha elimu kwa wafugaji kuhusu matumizi sahihi ya dawa za mifugo, ikiwahamasisha kuhakikisha dawa zinatumika pale tu zinapohitajika na kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya ya wanyama.