Establishment of 350 Hectare Industrial Zone in Misugusugu, Kibaha
Habari mpya za uchumi Tanzania · maelezo ya Establishment of 350 Hectare Industrial Zone in Misugus… · imesasishwa 3 Aug 2026 · habari za uchumi · pato la taifa · uwekezaji
Muhtasari
- Kunenge amesema kitendo cha Manispaa ya Kibaha kutenga eneo lenye ukubwa wa hekta 350 kwa ajili ya kuanzisha Kongani Mpya ya Viwanda ni chakupongezwa hatua ambayo itasaidia kuzalisha ajira.Pia amesema kuanzishwa kongani.
- Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amesema eneo la Kongani Viwanda la Misugusugu, Manispaa ya Kibaha ni mradi muhimu katika kuimarisha uchumi wa Mkoa wa Pwani na kuongeza fursa za ajira kwa wananchi.