Kutokana na hali hiyo, amesema mkutano huo umejadili namna ya kushawishi mamlaka zinazohusika na ununuzi wa mazao kuingiza mahindi hayo katika mfumo rasmi wa ununuzi, sambamba na kuboresha huduma za ugani ili wakulima wapate taarifa sahihi zitakazowawezesha kuongeza tija katika shughuli zao za kilimo.
Kutokana na hali hiyo, amesema mkutano huo umejadili namna ya kushawishi mamlaka zinazohusika na ununuzi wa mazao kuingiza mahindi hayo katika mfumo rasmi wa ununuzi, sambamba na kuboresha huduma za ugani ili wakulima wapate taarifa sahihi zitakazowawezesha kuongeza tija katika shughuli zao za kilimo.