Destruction of 110 Houses and Displacement of 250 Residents in Miyomboni
Habari mpya za civil society Tanzania · maelezo ya Destruction of 110 Houses and Displacement of 250 Resid… · imesasishwa 4 Aug 2026 · habari mpya · masasisho · maelezo
Muhtasari
- Chama cha ACT Wazalendo kimesema kimesikitishwa na kile kinachodai kuwa ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika mgogoro wa ardhi unaoendelea Kitongoji cha Miyomboni, Kijiji cha Gezaulole, Kata ya Makurunge.