Hata hivyo, makubaliano hayo yameibua mjadala mpana barani Afrika, hasa kuhusu masuala ya uwazi, ulinzi wa taarifa za afya na udhibiti wa kitaifa wa rasilimali za kibaolojia.
Hata hivyo, ushirikiano huo pia umeibua mjadala kuhusu suala nyeti katika diplomasia ya kisasa ya afya uhuru wa kitaifa (sovereignty).
