Rais wa FIFA, Gianni Infantino, akikabiliwa na upinzani mkubwa dhidi ya mpango wake wa kuuza sehemu ya haki za mashindano makubwa ya FIFA kwa wawekezaji binafsi kupitia mpango unaokadiriwa kuwa na thamani ya dola bilioni 20.
Hata hivyo, wapinzani wa mpango huo wana wasiwasi kuwa hatua hiyo inaweza kubadilisha mfumo wa uendeshaji wa mashindano makubwa ya FIFA na kuipa nafasi kubwa sekta binafsi katika maamuzi ya kibiashara ya soka duniani.