Wataalamu wa usalama wa kidijitali wanaonya kuwa hatua hiyo inaweza kubadilisha kabisa jinsi ukweli unavyothibitishwa, kwani picha bandia zinaweza kuonekana kuwa za kuaminika zaidi.
Maudhui ambayo yametengenezwa na akili mnemba na kwa wengine inawapa wakati mgumu kutofautisha picha halisi ama ile ambayo imetengenezwa na akili unde.