UEFA tayari imetishia kususia Kombe la Dunia ikiwa mpango huo utaidhinishwa, huku Concacaf na AFC zikipinga kutokana na kile walichokiita ukosefu wa mashauriano ya kutosha.
Mashirikisho yote 55 ya soka barani Ulaya yamepiga kura ya kukubaliana kususia mashindano ya Kombe la Dunia iwapo Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) litaendelea na mpango wa kuuza hisa za mashindano yake kwa wawekezaji binafsi.