Akizungumza wakati wa zoezi hilo, amesema shughuli hiyo ni sehemu ya kampeni endelevu ya kuhamasisha wananchi kushiriki katika utunzaji wa mazingira na kuhakikisha maeneo ya biashara yanakuwa safi na salama.
Amesema uamuzi wake umetokana na kuguswa na hali halisi ya wanafunzi hao, huku akisisitiza kuwa maendeleo ya jamii ni jukumu la kila mmoja, si la Serikali pekee.