Appointment of New Leadership Members in Simba Sports Club
Habari mpya za michezo Tanzania · maelezo ya Appointment of New Leadership Members in Simba Sports C… · imesasishwa 3 Aug 2026 · habari za michezo · mechi · matokeo
Muhtasari
- Rais wa Simba SC, Mohammed Dewji na Mwenyekiti wa Klabu na Makamu Mwenyekiti wa Bodi, Murtaza Mangungu walipokutana na kufanya mazungumzo kuhusu mipango ya timu kuelekea msimu wa 2026/27.
- Mangungu pia alisisitiza kuwa anathamini mchango wa Mohammed Dewji ndani ya Simba na kueleza kuwa uhusiano wao haujaanza kupitia klabu hiyo, bali ni wa muda mrefu zaidi ya miaka 20.
- Watu wanadhani nimemfahamu Mohammed kupitia Simba, mimi ni rafiki yangu zaidi ya miaka 20, pengine kabla ya hawa machawa wote,” alisema.
- Mwenyekiti wa Simba Sports Club, Murtaza Mangungu, amesema uteuzi wa baadhi ya wajumbe wapya wa uongozi wa klabu hiyo ulifanyika baada ya majadiliano kati yake na mfadhili wa klabu, Mohammed Dewji maarufu kama Mo Dewji.