Kupitia Mradi wa Kuimarisha Ufundishaji na Ujifunzaji kwa Shule za Awali na Msingi (BOOST), ADEM imepokea zaidi ya shilingi bilioni 16 kwa ajili ya kutoa mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa elimu katika kipindi cha miaka mitano.
Kupitia Mradi wa Kuimarisha Ufundishaji na Ujifunzaji kwa Shule za Awali na Msingi (BOOST), ADEM imepokea zaidi ya shilingi bilioni 16 kwa ajili ya kutoa mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa elimu katika kipindi cha miaka mitano.