Amesema utekelezaji wa programu hiyo umechangia kupungua kwa asilimia 81 ya matukio ya uchimbaji haramu, uvamizi wa mgodi, matumizi ya silaha, pamoja na matukio ya wanawake na watoto kuingia mgodini kinyume cha sheria.
Mratibu wa Ulinzi, Haki za Binadamu, Polisi Jamii na Misitu wa GGML, Mihinzo Tumbo, amesema utekelezaji wa programu hiyo umechangia kupungua kwa asilimia 81 ya matukio ya uchimbaji haramu, uvamizi wa mgodi, matumizi ya silaha, pamoja na matukio ya wanawake na watoto kuingia mgodini kinyume cha sheria.