37 Farmers Receive 100 Million Shillings from EFTA Funding
Habari mpya za kilimo Tanzania · maelezo ya 37 Farmers Receive 100 Million Shillings from EFTA Fund… · imesasishwa 6 Aug 2026 · habari za kilimo · wakulima · mazao
Muhtasari
- ARUSHA; Wakulima 37 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamepokea takribani Sh milioni 100 kama rejesho la asilimia 50 ya riba waliyolipa kupitia ufadhili wa EFTA, baada ya kurejesha kwa wakati.
- Wanufaika wa mpango huo walisema ufadhili wa EFTA umewawezesha kupata matrekta na mashine za uchakataji wa mazao, hatua iliyoongeza uzalishaji, kupunguza gharama za kilimo na kufungua fursa za ajira zaidi ya 300 katika.